Ufunuo wa Yohana 22 : 19 Revelation chapter 22 verse 19

Swahili English Translation

Ufunuo wa Yohana 22:19

Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
soma Mlango wa 22

Revelation 22:19

If anyone takes away from the words of the book of this prophecy, may God take away his part from the tree of life, and out of the holy city, which are written in this book.